Naibu waziri akerwa na kasi ndogo ujenzi wa kituo cha umeme.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Benki ya Afrika nchini Tanzania, Amos Cheptoo ameipongeza Serikali ya Tanzania
Mpango wa kuunganisha umeme wa gridi ya taifa kuelekea katika mgodi wa Geita Gold Mine Limited (GGML) unaendelea
PURA imefanya mazungumzo na wadau ili kujadili ushiriki wa Watanzania katika miradi mbalimbali ya mkondo wa juu wa petroli
Waziri wa Nishati, Mh. January Yusuph Makamba ametoa wito kwa serikali ya India na wawekezaji wa nchini humo kutembelea nchini Tanzania ili kutazama fursa zinazopatikana kwenye maeneo mbalimbali ya sekta ya nishati.
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba ameanzisha majadiliano ya utekelezaji wa mradi wa gesi ya kimiminika (Liquefied Natural Gas-LNG) baina ya Serikali na Kampuni za Shell Tanzania ambao ni wawekezaji katika vitalu namba 1 na 4 na Equinor ambao ni wawekezaji katika kitalu namba 2