Tanzania Energy Updates


Power Grid

Naibu waziri akerwa na kasi ndogo ujenzi wa kituo cha umeme

Naibu waziri akerwa na kasi ndogo ujenzi wa kituo cha umeme.

  • 4 years, 3 months
Power Grid

​AfDB yatembelea Mradi wa Umeme wa Zuzu.

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Benki ya Afrika nchini Tanzania, Amos Cheptoo ameipongeza Serikali ya Tanzania

  • 4 years, 3 months
Power Grid

GGML Kuanza Kutumia Umeme wa TANESCO

Mpango wa kuunganisha umeme wa gridi ya taifa kuelekea katika mgodi wa Geita Gold Mine Limited (GGML) unaendelea

  • 4 years, 3 months
Oil and Gas

PURA yakutana na wadau kujadili ushirikishwaji wa Watanzania

PURA imefanya mazungumzo na wadau ili kujadili ushiriki wa Watanzania katika miradi mbalimbali ya mkondo wa juu wa petroli

  • 4 years, 3 months
Energy Policy & Regulation

WAZIRI MAKAMBA ATOA WITO INDIA KUWEKEZA SEKTA YA NISHATI

Waziri wa Nishati, Mh. January Yusuph Makamba ametoa wito kwa serikali ya India na wawekezaji wa nchini humo kutembelea nchini Tanzania ili kutazama fursa zinazopatikana kwenye maeneo mbalimbali ya sekta ya nishati.

  • 4 years, 3 months
Energy Policy & Regulation

​Waziri Makamba aanzisha Majadiliano Mradi wa LNG

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba ameanzisha majadiliano ya utekelezaji wa mradi wa gesi ya kimiminika (Liquefied Natural Gas-LNG) baina ya Serikali na Kampuni za Shell Tanzania ambao ni wawekezaji katika vitalu namba 1 na 4 na Equinor ambao ni wawekezaji katika kitalu namba 2

  • 4 years, 5 months