Tanzania Energy Updates


Oil and Gas

Gesi Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta

Tanzania inakadiriwa kuwa na mita trilioni 230 za ujazo za gesi asilia, ingawa zilizothibitishwa mpaka sasa ni futi trilioni 57.5, hivyo kuiweka kwenye ramani ya dunia ikishika nafasi ya 82.

  • 4 years, 1 month
Energy Policy & Regulation

EWURA YAKUSANYA MAONI JUU YA MAREKEBISHO YA BEI ZA UMEME

EWURA yakusanya maoni juu ya marekebisho ya bei za umeme kwa wananchi wa Visiwa vya Ukerewe.

  • 4 years, 2 months
Energy Policy & Regulation

SERIKALI YAONDOA TOZO YA MAFUTA

Serikali kupitia Wizara ya Nishati imeondoa Tozo ya Shilingi 100 kwa kila lita ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa

  • 4 years, 2 months
Power Grid

Naibu Waziri wa Nishati afanya ziara ya ukaguzi

Naibu Waziri wa Nishati afanya ziara ya ukaguzi wa vituo vya kuzalishia Umeme- Ukerewe

  • 4 years, 2 months
Power Grid

SERIKALI KUENDELEA KUPELEKA UMEME SEHEMU MBALIMBALI NCHINI

Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato amefanya ziara ya kukagua miradi ya umeme ya gridi ndogo

  • 4 years, 2 months
Energy Policy & Regulation

TANZANIA NA DUBAI ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO SEKTA YA NISHATI

Wizara ya Nishati na kampuni ya DP World ya Dubai zimesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano katika kuendeleza miundombinu ya kupokea na kuhifadhia mafuta na gesi itakayojengwa nchini Tanzania

  • 4 years, 2 months